Nimebadilika 2011

Mashairi + Malumbano ya Kisasa

by Dardanus Mfalme


Formats

Softcover
$11.95
E-Book
$3.99
Softcover
$11.95

Book Details

Language : English
Publication Date : 10/26/2011

Format : Softcover
Dimensions : 5x8
Page Count : 140
ISBN : 9781462051090
Format : E-Book
Dimensions : N/A
Page Count : 140
ISBN : 9781462051106

About the Book

'Nimebadilika 2011' is the book with over a hundred pages of modern Swahili poems from the best Swahili writer of our time.

The ability of this champion writer of playing with language by mixing proper Swahili and Swahili slang while maintaining values of poetry is what makes this book unique and interesting.

In the ‘Malumbano’ section of this book, the writer is debating through poems with other writers including Shehe Hadji Saeedia, Stephen S. Mkoloma, Sharifa Bakari, Linda Ndalu, Ndugu Chilewa, Omari Njenje and Ndugu Mgimba.

On last pages of this book, the writer put a Swahili slang dictionary so as for those who don’t understand Swahili slang to get full entertainment when reading this book.


About the Author

Ni kitabu chenye hazina ya tungo zilizotungwa na mtunzi mahiri aliyebobea katika fani ya utunzi wa mashairi, tenzi, ngonjera na nyimbo. Mtunzi wa kitabu hiki amejumuisha tungo alizozitunga hivi karibuni na zile alizozitunga kitambo nyuma hivyo kikifanya kitabu hiki kiwe na hisia tofauti tofauti.

Tofauti na vitabu vingine ama watunzi wengine, upekee wa kitabu hiki ni kwamba, mtunzi wake ameonyesha umahiri wa kucheza na lugha kwa kuchanganya maneno ya Kiswahili sanifu, Kiswahili cha mitaani na maneno aliyoyatohoa katika lugha nyingine mbalimbali ambayo hutumiwa kwa wingi katika jamii ya sasa, na ndio sababu hasa amekiita kitabu hiki “Mashairi ya Kisasa”

Burudani kamili inapatikana ndani ya kitabu hiki katika sehemu ya malumbano ambapo mtunzi wa kitabu hiki amejibizana na washairi wengine waliobobea wakiwemo Shehe Hadji Saeedia, Stephen S. Mkoloma, Sharifa Bakari, Linda Ndalu, Ndugu Chilewa, Omari Njenje na Ndugu Mgimba.

Kama ilivyo ada yake, katika kurasa za mwisho wa kitabu hiki mwandishi ameweka kamusi ya Kiswahili cha mitaani ili kila asomaye kitabu hiki apate burudani kamili asomapo ama aimbapo tungo zake.